ANZA MWAKA MPYA 2014 NA MPENZI WAKO KWA KUFUATA HAYA...!
HUU ni msimu wa sikukuu! Juzi, tumesherehekea Sikukuu ya Krismasi na sasa tunaelekea Mwaka Mpya 2014. Kwa nguvu za Mungu tutafika salama. Ndugu zangu, hebu tutafakari vizuri kuhusu mwaka uliopita na...
View ArticleSNURA AJIANIKA MTANDAONI
KWA wasiomfahamu msichana huyu, wanamuona kama chipukizi aliyeukwaa ustaa ghafla, lakini wanaofuatilia mambo ya sanaa na burudani, wanamfahamu kitambo. Ninamzungumzia Snura Mushi, ambaye anatamba sana...
View ArticleDEMU HUYU ANAUZA BIKRA YAKE LIVE ...
Watu wamekuwa waongo sana , Utasikia ooohh mi ntakuoa ukinipa, siku akishapa tu anachokitaka anakula kona, mi bora tu niuze yangu, Bei poa kabisaa laki tano za kibongo..hayo ni maneno ya Msichana mmoja...
View ArticleHATIMAYE SUPER STAR RAY C AFUNGUKA NA KUMCHANA LIVE JACKIE CLIFF SOMA...
Hivi karibuni aliyekuwa msanii wa Bongo Fleva na Radio presenter, mwana dada Rehema Chalamila maarufu kwa jina la Ray C, aliingia katika mjadala mkubwa na mashabiki wake katika mtandao wa kijamii wa...
View ArticleSUPER STAR WEMA SEPETU AFUNGUKA LIVE LIKE NEVER BEFORE KUHUSU MENEJA WAKE...
MSANII nyota wa filamu Bongo Wema Isack Sepetu amefunguka kwa kudai kuwa hawezi kuvunja urafiki na meneja wake Martin Kadinda kwa sababu kama kuna kitu chochote cha mafanikio nyuma yake yupo...
View ArticleHAWA WALIAMUA KUURIBISHA MWAKA KIPEKEE KWA KUNGONOKA MWANZO MWISHO ... HIVI...
Ndani ya chumba kimoja walinaswa wasichana wakiwa nusu uchi na wavulana wao, huku waki subiri mwaka mpya kwenye. Inasemekana ni wanafunzi wa moja ya vyuo vikuu.Add caption
View ArticleBINTI ANALAZIMISHA NDOA ANATAKA KUNISAIDIA KUTOA MAHARI...USHURI JAMANI...
Awali ya yote nina mwanamke mmoja ambaye tulianza naye mapenzi toka tuanze wote kazi kwa sababu tumeajiliwa sehemu moja ila tu tunatofautiana sehemu ya kufanyia kazi yeye anafanyia wilayani na mimi...
View ArticleSUPER STAR RAY C SASA AONYESHA MJENGO WAKE LIVE!!
Mwaka 2013 umekuwa wa mafanikio makubwa kwa Rehema Chalamila aka Ray C. Kubwa anamloshukuru Mungu ni kuokolewa kutoka kwenye maangamizi yaliyosababishwa na kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya,...
View ArticleTAZAMA YALIYOJIRI KWENYE BIRHDAY PARTY YA BABUTALE IKIWEMO NA ZAWADI...
Usiku wa kuamkia tarehe 1,meneja wangu Babu tale alikuwa akiadhimisha miaka kadhaa ya kuzaliwa,mimi na team yangu tulitamani tuwepo kwenye sherehe yake lakini bahati mbaya tulikuwa Mtwara...
View ArticleTAZAMA PICHA ZA MADEMU WA KILEO WANAVYOVAA NGUO KIMITEGE, NI SHIDAAA
Jamani hawa wadada hawana hata haya kabisa ,utadhani mishipa ya aibu imekatika! kuweni wastaarabu.
View ArticleMTANDAO WA UNGA WA JACK PATRICK UNATISHA ... SOMA HAPA UJUE UNAVYOFANYA KAZI
Na Mwandishi WetuBADO habari ya mjini ni skendo ya kunaswa na madawa ya kulevya ‘unga’ inayomtafuna Video Queen wa Bongo, Jacqueline Clifford Fitzpatrick ‘Jack Patrick’ ambaye inadaiwa kuwa mtandao...
View ArticlePICHA ZA UTUPU ZA MAUNDA ZORRO AKIWA GESTI ZAVUJA .... JIONEEE MWENYEWEEEE...
Ni mara nyingine tena star mwingine tokea bongo picha zake chafu zimevuja katika mtandao mara hii ni kutoka kwenye Industry ya musc bongo
View ArticleROSE NDAUKA APATA BABY GAL
Stori: Imelda MtemaSTAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka amejifungua mtoto wa kike kwa njia ya upasuaji mwanzoni mwa wiki hii katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili iliyopo jijini Dar.Rose...
View Article