MBINU 7 ZA KUZUIA MTU ASIINGILIE MAPENZI YENU, CHEKI UJIFUNZE HAPA
Sio mbaya kwa marafiki wa karibu au ndugu na jamaa kufahamu kushirikiana nanyi katika mapenzi yenu kama vile wakati wa sherehe au msiba. Pia sio mbaya kujuliana hali na kutambulisha mambo ya msingi...
View ArticleHATARI...!! MREMBO HUYU KAAMBUKIZA UKIMWI WATU 324 NA BADO ANAENDELEA....!!!...
Jamani tubaki njia kuu!!! demu mmoja nchini kenya ameripotiwa kutembea na wanaume zaidi ya 300 wakati anajua kabisa ni muathirika wa ukimwi. Demu huyo aliamua kuchukua uamuzi huo mgumu kama njia ya...
View ArticleMambo 10 muhimu unayopaswa kufahamu kuhusu Notorious B.I.G
Wengi humuita mfalme wa Hip Hop/Rap kutokana na uwezo wake mkubwa aliounesha wa kurap enzi ya uhai wake, Christopher George Letore Wallace aka Notorious B.I.G, aliyewakilisha label ya Bad Boy na...
View ArticleBABU SEYA, PAPII KOCHA KICHEKO KIPYA
MWANAMUZIKI mkongwe nchini, Nguza Viking ‘Babu Seya’ anayetumikia kifungo cha maisha jela na mwanaye Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ kwa kuwanajisi watoto tisa, wana furaha upya baada ya mwanga wa kuweza...
View ArticleWOLPER: LAZIMA NIOLEWE NJE YA NCHI
Na Hamida HassanSTAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper ameibuka na kudai kuwa, atafanya kila njia ili aolewe na mwanaume wa nje ya nchi na siyo Wabongo ambao hawathamini mastaa.Akizungumza...
View ArticleMIAKA 10 YA... MATESO KITANDANI
HUJAFAhujaumbika. Hicho ndicho unachoweza kusema ukimuona na baadaye kumsikiliza Disnia Rajabu,32, mkazi wa mtaa wa Geza Ulole mkoani Tanga ambaye anaumwa uvimbe wa mguu kwa muda wa miaka 10 sasa bila...
View ArticleMke wa Mbunge wa Chadema achafua hali ya Hewa huko Instagram, Soma hali ilivyo
Nimekutana na hii Hapa Embu jisomee Mwenyewe..maana mweeeee
View ArticlePicha hizi za Wema Sepetu akipata Penzi Moto la Diamond ndio zinakimbiza...
Dayum ! Wema Sepetu is showing off a new bald look.Wema Sepetu with her One & Only Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’.]Wema Sepetu & Romie Jones
View ArticleMAJANGAAAA MBONA MAJANGAAAA ... SNURA AFUMANIWA AKIWA KWA MGANGA WA KIENYEJI
Msanii mkongwe nchini maarufu kwa jina la Snura Mushi au Snura Majanga amenaswa live akiwa kwa sangoma ( mganga wa jadi ) akisafisha nyota yake kwa lengo la kujiongezea mashabiki......
View ArticleDIVA " NAMPENDA SANA LULU, NINGEKUWA MWANAUME NINGE....." CHEKI BALAA HAPA
Mwanadada Loveness aka Diva the Boss mtangazaji wa clouds fm kipindi cha ala za roho, kinachozungumzia maswala ya mapenzi na mahusiano…..Jana usiku alijikuta akielezea hisia zake kwa Muigizaji...
View ArticleAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUMANIWA
Na Dustan Shekidele, MorogoroDUNIA ina mambo! Fundi wa magari mkoani Morogoro, Julius Mavella maarufu kama Papa Mavella, Machi 5 mwaka huu, majira ya saa saba usiku, alifariki dunia baada ya pikipiki...
View ArticleMrembo Victoria Kimani Afunguka kuhusu sakata lake la Diamond na Wema
Mwimbaji wa Kenya Victoria Kimani ambaye amekuwa Tanzania kwa siku kadhaa sasa akiutangaza muziki wake pamoja na kufanya collabo na wasanii wa Bongo, amezungumza maneno ya kuondoa ukungu wowote...
View ArticleDUH!! HEBU TAZAMA HIZI PICHA ZA PETER WA P SQUARE ZILIZOZUA GUMZO MITANDAONI...
P Square in Photos….. Chilling with a HOT girl….. akionesha 6 pack zake
View ArticleBAADA YA SNURA KUNASWA KWA MGANGA NA JOGOO JEKUNDU, LEO AONEKANA TENA...
Leo asubuhi tulikutana na kioja kingine ambacho kilinishangaza zaidi, Ilikuwa Majira ya mbili asubuhi,Paparazi wetu alikuwa anamwibukia nyumbani kwake ili aweze kufanya nae mahojiano kuhusiana na kile...
View ArticleDHARAU ZINGINE HUWA HAZINA FAIDA..ONA HUYU DADA ALIVYOADHIRIKA
Leo Asubuhi Nikiwa Ubungo bus terminal....Leo asubuhi nikiwa stand ya mabasi ya ubungo,mdada mmoja wakati anapanda kwenye kagari kake akadondosha simu.Mimi nikamuita ili nimweleze...
View ArticleALIYEJIFANYA NDUGU WA MSANII WA BONGO FLEVA NA KUTAPELI WATU AVULIWA NGUO NA...
Ndugu MusaWakazi wa Manzese wenye Hasira Kali wamvua nguo Kijana mmoja ambaye alijitambulisha kuwa ni ndugu wa msanii Geez Mabovu, Hasira za raia zilikuja baada ya Kijana huyo kukosa kosa kumtapeli...
View ArticleBAADA YA KUMSHIKA MWANAMKE MAKALIO, CHRIS BROWN APEWA ADHABU, ARUHUSIWA KUOGA...
MWANAMUZIKI kutoka Marekani Chris Brown, ambaye hivi sasa ametupwa rumande anadaiwa kuwa ataruhusiwa kuoga mara moja tu ndani ya siku mbili akiwa jela.Mwanamuziki huyo wa miondoko ya R&B, alitupwa...
View Article