Washiriki Emmanuel Msuya na Elizabeth Mwakijambile wanachuana kutafuta mshindi wa EBSS 2013 katika fainali zinazoendelea ndani ya Escape 1, Mikocheni jijini Dar muda huu.
(PICHA: DENIS MTIMA, RICHARD BUKOS NA MUSA MATEJA /GPL)
Maina Thadei akimalizia safari yake ya EBSS 2013.
Washiriki Maina Thadei na Amina Chibaba wameyaaga mashindano ya EBSS 2013 katika fainali hizo zinazoendelea ndani ya Escape 1, Mikocheni jijini Dar.…Maina Thadei akimalizia safari yake ya EBSS 2013.
Washiriki Maina Thadei na Amina Chibaba wameyaaga mashindano ya EBSS 2013 katika fainali hizo zinazoendelea ndani ya Escape 1, Mikocheni jijini Dar.(PICHA: DENIS MTIMA, RICHARD BUKOS NA MUSA MATEJA /GPL)

Washiriki Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John wamefanikiwa kuingia Tatu Bora katika fainali za EBSS 2013 ndani ya Escape 1, Mikocheni jijini Dar muda huu. Wasanii walioaga…

Washiriki Elizabeth Mwakijambile, Emmanuel Msuya na Mellisa John wamefanikiwa kuingia Tatu Bora katika fainali za EBSS 2013 ndani ya Escape 1, Mikocheni jijini Dar muda huu. Wasanii walioaga mashindano ni Maina Thadei na Amina Chibaba.
(PICHA: DENIS MTIMA, RICHARD BUKOS NA MUSA MATEJA /GPL)
Mwanamitindo Martin Kadinda akipozi Red Carpet.
Fainali za Epic Bongo Star Search 2013 (EBSS) kwa sasa zinaendelea ndani ya Escape 1 Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo washiriki watano walioingia Tano Bora watachuana vilivyo mpaka apatikane mshindi. Endelea kuwa nasi mpaka mwisho wa fainali hizi.(PICHA ZOTE NA MUSA MATEJA / GPL)